Wakenya wanyakua ushindi katika mbiyo za nyika duniani

Irene Cheptai wa Kenya ashinda dhahabu mbiyo za wanyika Kampala Uganda 2017

Bingwa wa dunia mbiyo za nyika Geoffrey Kamworor wa Kenya ashinda mbiyo za Kampala

Sebestian Coe rais wa IAAF na Rais Yoweri Museveni kwenye ufunguzi wa Cross Country 2017

Timu ya Kenya ya mchanganyiko Asbel Kiprop, Beatrice Chepkoech, Winnie Mbithe and Bernard Koros

Wanawake chini ya miaka 20 washindana katika mbiyo za nyika Kampala

Jacob Kiplimo akishinda mbiyo za nyika za vijana chini ya miaka 20 Kampala

Letesenbet Gidey wa Ethopia ashinda mbiyo za wanawake U20 mjini Kampala

Vijana chini ya miaka 20 katika mbiyo za nyika mjini Kampala 2017