Wapiganaji wa M23 wateka miji zaidi mashariki ya DRC

Wakimbizi wakimbia vita wakibeba mali zao kutoka Sake kuelekea maeneo ya usalama

Chombo cha kufyetulia mizinga iliyoachwa nyuma na wanajeshi wa serikali, FARDC, katika mji wa Goma

Wakimbizi wanaokimbia vita waelekea maeneo ya usalama

Mpiganaji wa M23 juu ya silaha zilizopatikana Goma

Wapiganaji wa M23 waelekea Minova kusini mwa mji wa Goma

Silaha zilizoachwa na jeshi la FARDC mjini Goma