Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Septemba 12, 2024 Local time: 21:00

WHO latangaza dharura ya afya ya umma baada ya virusi vya M-Pox kuripotiwa nje ya Afrika


WHO latangaza dharura ya afya ya umma baada ya virusi vya M-Pox kuripotiwa nje ya Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Shirika la Afya Duniani, WHO, limetangaza dharura ya afya ya umma baada ya virusi vya M-Pox kuripotiwa nje ya Afrika na kusema hakuna haja ya nchi kufunga mipaka.

Serikali ya Kenya mbioni kutafuta mbinu mbadala kufadhili bajeti baada ya mswaada wa fedha kukataliwa.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG