Kusonga mbele kwa waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda kumeashiria ongezeko kubwa zaidi katika zaidi ya muongo mmoja wa mzozo wa muda mrefu mashariki mwa Congo, uliotokana na ksambaa kwa mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994 nchini Congo na mapambano ya kudhibiti rasilimali kubwa ya madini ya nchi hiyo.
Rwanda inakanusha madai kutoka Congo, Umoja wa Mataifa na mataifa ya Magharibi kwamba inaunga mkono kundi la M23 kwa silaha na wanajeshi.
Forum