Waendesha mashtaka nchini Ujerumani wamesema kwamba miongoni mwa waliokamatwa nchini humo ni watu wasiotambuliwa kama wasyria wenye asili ya palsetina wasiokuwa na utaifa na nchi yoyote, ambao walikuwa na mahusiano na wanamgambo wa Syria.
Mwingine ni raia wa Syria ambaye alikuwa ni afisa wa ujasusi wa serikali.
Waendesha mashtaka wamesema kwamba waliokamatwa walishiriki katika msako mbaya dhidi ya maandamano ya amani katika wilaya ya Al-Yarmouk, mji mkuu wa Damascus, nchini Syria.
Washukiwa watatu waliokamatwa nchini Sweden walikuwa sehemu ya kundi hilo la wanamgambo sawa na waliokamatwa Ujerumani.
Forum