Miongoni mwa malengo ya shambulizi la Jumatatu la miji kadhaa, ilikuwa hospitali kubwa zaidi ya watoto nchini humo, sehemu ya mfululizo wa mashambulizi ya mchana ambayo Meya Vitali Klitschko, alielezea kuwa mojawapo ya mashambulizi zaidi katika vita hivyo.
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amelaani vikali shambulizi hilo na kusema kwamba Russia, lazima iwajibike.
Siku ya Jumanne, pembezoni mwa mkutano wa NATO ulioanza hapa jijini Washington, Rais Zelenskyy aliiambia VOA kwamba atazungumza na viongozi.
Forum