Trump amesema hayo wakati wa kikao na waandishi wa habari huko White House, akiwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, jana Jumanne jioni.
Katika siku za hivi karibuni, maelfu ya wapalestina katika maeneo ya kusini mwa Gaza wamekuwa wakielekea kwenye makazi yao baada ya Israel kuwaruhusu kurudi huko kama sehemu ya makubaliano ya sitisho la mapigano na kuachiliwa kwa mateka wanaoshikiliwa na Hamas.
Trump amesema anataka kuliendeleza eneo hilo na kuwa kile alichokiita Mandhari ya Mashariki ya Kati.
Netanyahu amesema kwamba moja ya malengo yake ya vita ni kuhakikisha kuwa Hamas sio tishio tena kwa Israel lakini akasema Trump analichukua hilo katika hatua ya ngazi ya juu zaidi.
Trump hata hivyo hajatoa maelezo namna anavyopanga kudhibithi Gaza iliyoharibiwa na vita vya takriban miezi 15.
Trump amesema hayo wakati wa kikao na waandishi wa habari huko White House, akiwa na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, jana Jumanne jioni.
Katika siku za hivi karibuni, maelfu ya wapalestina katika maeneo ya kusini mwa Gaza wamekuwa wakielekea kwenye makazi yao baada ya Israel kuwaruhusu kurudi huko kama sehemu ya makubaliano ya sitisho la mapigano na kuachiliwa kwa mateka wanaoshikiliwa na Hamas.
Trump amesema anataka kuliendeleza eneo hilo na kuwa kile alichokiita Mandhari ya Mashariki ya Kati.
Netanyahu amesema kwamba moja ya malengo yake ya vita ni kuhakikisha kuwa Hamas sio tishio tena kwa Israel lakini akasema Trump analichukua hilo katika hatua ya ngazi ya juu zaidi.
Trump hata hivyo hajatoa maelezo namna anavyopanga kudhibithi Gaza iliyoharibiwa na vita vya takriban miezi 15.
Forum