Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Septemba 17, 2024 Local time: 02:35

Rais al-Sisi wa Misri amemuongezea muda wa kuhudumu gavana wa benki kuu


Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi
Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi

Hasan Abdalla aliteuliwa kwa mara ya kwanza Agosti 2022 baada ya kujiuzulu ghafla kwa Tarek Amer

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ameongeza muda wa kuhudumu kaimu gavana wa benki kuu, Hasan Abdalla kwa mwaka wa tatu, gazeti rasmi lilisema leo Jumatatu.

Abdalla ambaye kwa miaka 16 alikuwa mkuu wa benki ya kimataifa kwa nchi za kiarabu na Afrika yenye makao yake mjini Cairo, aliteuliwa kwa mara ya kwanza Agosti mwaka 2022 baada ya kujiuzulu ghafla kwa Tarek Amer aliyehudumu kwa muda mrefu kwenye nafasi hiyo. Uteuzi wa Abdalla uliongezewa muda mwaka 2023.

Forum

XS
SM
MD
LG