Hati hiyo ilitiwa saini na mkuu wa wizara ya Russia, Maxim Reshetnikov, na waziri wa uwekezaji na uhusiano wa kiuchumi wa Myanmar, Kan Zaw, wakati wa ziara ya ujumbe wa Russia, katika nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
“Hati ya mkataba ina vipengele vya msingi vya miradi kadhaa mikubwa ya miundombinu na nishati ambayo inatekelezwa kwa pamoja na makampuni ya Krussia nchini Myanmar, wizara ya Russia, ilimnukuu Reshetnikov akisema katika taarifa.
Ameongeza kuwa wanazungumza kuhusu miradi ya kujenga bandari, mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe na kiwanda cha kusafisha mafuta.
Forum