Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Oktoba 17, 2024 Local time: 01:28

Mashambulizi ya Israel yapiga eneo la Hospitali ya Al-Aksa katikati ya Ukanda wa Gaza


Mashambulizi ya Israel yapiga eneo la Hospitali ya Al-Aksa katikati ya Ukanda wa Gaza
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Wafanyakazi wa huduma za afya wa Palestina wamesema mashambulizi ya Israel yamepiga katika eneo la Hospitali ya Al-Aksa katikati ya Ukanda wa Gaza.

Rais wa Marekani Joe Biden alitembelea maeneo kadhaa yaliyoathiriwa na Kimbunga Milton huko Florida na kutangaza ufadhili mpya.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG