Mapema mwaka huu, utawala wa kijeshi wa Niger ulihitimisha makubaliano yaliyoruhusu wanajeshi wa Marekani kufanya kazi katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Miezi michache baadaye, maafisa kutoka nchi zote mbili wamesema katika taarifa ya pamoja kwamba wanajeshi wa Marekani wataondoka katikati ya Septemba.
Marekani ilikabidhi kambi zake za mwisho za kijeshi nchini Niger kwa serikali za mitaa mwezi uliopita, lakini takriban wanajeshi 22 wa Kimarekani walibakia Niger, hasa kwa ajili ya majukumu ya kiutawala yanayohusiana na uondokaji huo, Singh amesema.
Forum