Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 18, 2025 Local time: 17:09

Kenya yaanza kuchanja watoto dhidi ya COVID-19


Kenya yaanza kuchanja watoto dhidi ya COVID-19
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:04 0:00

Kenya imefanikiwa kuwa taifa la pili Afrika kutoa chanjo dhidi ya COVID-19 kwa watoto walio na umri wa miaka 15 na zaidi huku kukiwa na maoni mseto kuhusu chanjo hiyo kwa watoto.

XS
SM
MD
LG