“Wanapaswa kufikiria tena,” msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Marekani, Matthew Miller, aliwaeleza waandishi wa habari.
“Wanapaswa kukemewa kwa dhana kwamba sisi si chochote ila kuzingatia changamoto za usalama wa kitaifa ambazo nchi inakabiliwa nazo,” aliongeza kusema.
Ndani ya Pentagon, maafisa wa kijeshi walisisitiza kwamba changamoto zozote ambazo maadui wa Marekani wanaweza kuzitumia, basi jeshi la Marekani liko tayari kuwakabili.
Forum