Marekani inazichukulia nchi zilizo kwenye daraja la tatu kuwa haziwajibiki vya kutosha kuchukua hatua dhidi ya ulanguzi wa binadamu na hazifuati Sheria ya Marekani ya Kulinda Waathirika wa Usafirishaji Haramu wa 2000 (TVPA).
“Duniani kote, inakadiriwa watu milioni 27 wanatumikishwa kwenye biashara ya ngono,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken amesema katika ujumbe kuhusu ripoti hiyo.
“Kwa kutumia nguvu, ulaghai, na kulazimisha, watu pia wanatumikiswa katika mashamba, viwanda, migahawa na makazi.” Brunei inaripotiwa haijamuweka hatiani mlanguzi yoyote kwa miaka saba.
Forum