Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Julai 07, 2024 Local time: 23:58

Benki ya Dunia imetangaza dola milioni 700 za kuisaidia Misri


Logo ya Benki ya Dunia
Logo ya Benki ya Dunia

Ni mpango wa  miaka mitatu wa  dola bilioni sita ambazo benki iliahidi kwa nchi hiyo ya Afrika kaskazini.

Benki ya Dunia ilitangaza leo Jumatatu kuhusu dola milioni 700 za kusaidia bajeti ya Misri, ikiwa ni mpango wa miaka mitatu wa dola bilioni sita ambazo benki iliahidi mwanzoni mwa mwaka huu kutokana na uhaba wa fedha za kigeni kwa ajili ya nchi hiyo ya Afrika kaskazini.

Dola milioni 700 zinatengwa kuisaidia Misri kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi, uchumi wa teknolojia jumla na ustahimilivu wa kifedha, na ukuaji wa kijani, Benki ya Dunia ilisema katika taarifa.

Forum

XS
SM
MD
LG