Andrey Kuznechyk wa Radio Free Europe/Radio Liberty, idhaa ya Belarus, aliachiliwa pamoja na watu wengine wawili, alisema mjumbe maalum wa Marekani anayehusika na masuala ya mateka Adam Boehler, ambaye hakufafanua utambulisho wa mateka hao wengine wawili.
Rais wa Radio Free Europe/Radio Liberty Stephen Capus amefurahiswa na kuachiliwa kwa Kuznechyk na kumshukuru Rais Donald Trump, waziri wa mambo ya nje Marco Rubio na serikali ya Lithuania kwa mchango wao ili mwandishi huyo wa habari aachiwe huru.
“Hii ni siku ya furaha kwa Andrey, mke wake, na watoto wao wawili. Baada ya kutengana kwa zaidi ya miaka mitatu,
Forum