Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Julai 02, 2024 Local time: 02:43

Iran kufanya duru ya pili ya uchaguzi wa rais baada ya mshindi kutopatikana katika raundi ya kwanza


Iran kufanya duru ya pili ya uchaguzi wa rais baada ya mshindi kutopatikana katika raundi ya kwanza
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Iran itafanya duru ya pili ya uchaguzi wa rais, kuamua ni nani atachukua nafasi ya rais wa zamani marehemu Ebrahim Raisi, afisa mmoja alisema Jumamosi, baada ya uchaguzi wa awali kutobainisha mshindi wa moja kwa moja.

XS
SM
MD
LG