Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Aprili 14, 2025 Local time: 18:22

Wakongomani wasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu


Wakongomani wasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu
please wait

No media source currently available

0:00 0:59:58 0:00

Wapiga kura katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu, baada ya zoezi hilo kuongezewa muda, wa siku moja, ambao haukutarajiwa, na ambao uliwafanya baadhi ya wagombea wa upinzani kulalamika, wakidai kwamba hiyo ilikuwa ni njama ya kuiba kura.

XS
SM
MD
LG