Rais wa Misri Abdel Fattah al Sisi Jumamosi ameonya dhidi ya kuendelezwa kwa vita vya Gaza, akisema kwamba huenda vikahatarisha usalama wa kikanda.
Rais wa Misri Abdel Fattah al Sisi Jumamosi ameonya dhidi ya kuendelezwa kwa vita vya Gaza, akisema kwamba huenda vikahatarisha usalama wa kikanda.