Waandishi wa habari Shafi Mbinda na Asiraji Kariango waangazia matukio makuu ya wiki, yakiwa ni pamoja na mzozo wa Israeli na Hams na mashambulizi yaliyosababisha vifo vya angalau watu 18 Marekani.
Waandishi wa habari Shafi Mbinda na Asiraji Kariango waangazia matukio makuu ya wiki, yakiwa ni pamoja na mzozo wa Israeli na Hams na mashambulizi yaliyosababisha vifo vya angalau watu 18 Marekani.