Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 08, 2025 Local time: 15:12

Nchi wanachama wa COMESA zataka bajeti za kufadhili miundombinu ziongezewe


Nchi wanachama wa COMESA zataka bajeti za kufadhili miundombinu ziongezewe
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mawaziri wa Nchi za jumuiya ya kiuchumi ya mashariki na kusini mwa Afrika Comesa, wanaokutana mjini Kigali, Rwanda, wamesema kwamba kuna haja ya kuongeza maradufu bajeti zinazoelekezwa kwa miundombinu katika nchi wanachama wa jumuiya hiyo.

XS
SM
MD
LG