Baadhi ya nchi za Afrika zimeanza kunufaika na maboresho ya mifumo ya mawasiliano kwa njia ya Posta yanayolenga kuhakikisha kwamba utoaji wa huduma za posta katika nchi zote unakuwa wa kidigitali.
Baadhi ya nchi za Afrika zimeanza kunufaika na maboresho ya mifumo ya mawasiliano kwa njia ya Posta yanayolenga kuhakikisha kwamba utoaji wa huduma za posta katika nchi zote unakuwa wa kidigitali.