Mashirika yanayoangazaia masuala ya afya ya uzazi nchini Uganda yanasema changamoto zinaongezeka kuhusiana na ndoa za mapema na ukeketaji wa wasichana katika maeneo ya Tooro na Kabarole.
Mashirika yanayoangazaia masuala ya afya ya uzazi nchini Uganda yanasema changamoto zinaongezeka kuhusiana na ndoa za mapema na ukeketaji wa wasichana katika maeneo ya Tooro na Kabarole.