Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 16, 2025 Local time: 08:22

Ndoa za mapema na ukeketaji wa wasichana zadaiwa katika maeneo ya Uganda


Ndoa za mapema na ukeketaji wa wasichana zadaiwa katika maeneo ya Uganda
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mashirika yanayoangazaia masuala ya afya ya uzazi nchini Uganda yanasema changamoto zinaongezeka kuhusiana na ndoa za mapema na ukeketaji wa wasichana katika maeneo ya Tooro na Kabarole.

XS
SM
MD
LG