Msemaji wa kamishna mkuu, Ravina Sham-dasani, aliiambia VOA kwamba serikali iliifahamisha Turk mwezi Februari kwamba haitasaini upya mkataba wa nchi mwenyeji, ambao unaruhusu ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa kufanya kazi nchini humo.
Msemaji wa kamishna mkuu, Ravina Sham-dasani, aliiambia VOA kwamba serikali iliifahamisha Turk mwezi Februari kwamba haitasaini upya mkataba wa nchi mwenyeji, ambao unaruhusu ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa kufanya kazi nchini humo.