Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 08, 2025 Local time: 16:53

Uganda yasema haitilii maanani maoni ya wakosoaji kuhusu ushirikiano wake na Iran


Uganda yasema haitilii maanani maoni ya wakosoaji kuhusu ushirikiano wake na Iran
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati rais wa Iran Ibrahim Raisi akizuru Uganda, naibu wa waziri wa mambo ya nje Okello Oryem amesema hawatilii maanani maoni ya nchi nyingine kuhusu ushirikiano wa nchi hizo mbili.

XS
SM
MD
LG