Kundi la nchi saba zenye nguvu za kiviwanda duniani Jumamosi lilizidisha shutuma zake dhidi ya kuongezeka kwa vitisho vya usalama vya kijeshi na kiuchumi vya China.
Kundi la nchi saba zenye nguvu za kiviwanda duniani Jumamosi lilizidisha shutuma zake dhidi ya kuongezeka kwa vitisho vya usalama vya kijeshi na kiuchumi vya China.