Serikali ya Kenya imeorodhesha mashirika 26 ya kupeleka wafanyakazi nje ya nchi kwa nia ya kuwalinda wafanyakazi hao dhidi ya unyonyaji na ukiukwaji wa wazi wa haki zao.
Serikali ya Kenya imeorodhesha mashirika 26 ya kupeleka wafanyakazi nje ya nchi kwa nia ya kuwalinda wafanyakazi hao dhidi ya unyonyaji na ukiukwaji wa wazi wa haki zao.