Wafuasi wa haki za mashoga wanawashutumu wabunge wa Uganda kwa kupiga kura ili kufanya kuwa kosa la jinai kwa mtu yeyote anayejitambulisha hadharani kuwa ni shoga au wa mapenzi ya jinsia moja.
Wafuasi wa haki za mashoga wanawashutumu wabunge wa Uganda kwa kupiga kura ili kufanya kuwa kosa la jinai kwa mtu yeyote anayejitambulisha hadharani kuwa ni shoga au wa mapenzi ya jinsia moja.