Vyama vya upinzani vyaomba serikali ya Congo kujenga jeshi lake kuliko kutegemea mataifa mengine ya kigeni.Hii ni baada ya Angola na Afrika Kusini kuweka makubaliano ya ushirikiano wa kiusalama.
Vyama vya upinzani vyaomba serikali ya Congo kujenga jeshi lake kuliko kutegemea mataifa mengine ya kigeni.Hii ni baada ya Angola na Afrika Kusini kuweka makubaliano ya ushirikiano wa kiusalama.