Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 09, 2025 Local time: 08:05

Marekani yaadhimisha miaka 58 tangu umwagikaji damu kufanyika mjini Selma, Alabama


Marekani yaadhimisha miaka 58 tangu umwagikaji damu kufanyika mjini Selma, Alabama
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Maadhimisho ya miaka 58 ya maandamano yaliyosababisha umwagikaji damu hapo mwaka wa 1965, katika siku iliyokuja kujulikana kama “Bloody Sunday” yalifanyika Jumapili katika mji wa Selma, Alabama, wakati ambapo Rais Joe Biden anakabiliwa na ukosoaji kutoka kwa wapiga kura.

XS
SM
MD
LG