Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 10:56

Guterres asema mataifa ya Afrika yamedumazwa na madeni


Guterres asema mataifa ya Afrika yamedumazwa na madeni
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anasema nchi nyingi za Afrika zimenyimwa ahueni ya madeni wanayohitaji sana na ufadhili wa masharti nafuu.

XS
SM
MD
LG