Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 09:40

Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa wameelezea kuunga mkono juhudi zinazofanywa kwa waathirika wa tetemeko la ardhi nchini uturuki na Syria


Umoja wa Ulaya na Umoja wa Mataifa wameelezea kuunga mkono juhudi zinazofanywa kwa waathirika wa tetemeko la ardhi nchini uturuki na Syria
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Takriban watu 22,000 wamethibitishwa kufariki nchini Uturuki na Syria katika moja ya matetemeko mabaya zaidi ya ardhi katika kipindi cha miaka 25 iliyopita. Idadi ya majeruhi inatarajiwa kuongezeka kulingana na maafisa wa ndani pamoja na kimataifa wanaofuatilia tukio hili

XS
SM
MD
LG