Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Aprili 07, 2025 Local time: 23:06

Vijana kutoka Afrika wanatarajia mkutano unaoendelea nchini Marekani utatoa fursa kwa vijana kupata muongozo bora wa mbinu za uongozi


Vijana kutoka Afrika wanatarajia mkutano unaoendelea nchini Marekani utatoa fursa kwa vijana kupata muongozo bora wa mbinu za uongozi
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Makamu Rais wa Marekani Kamala Harris alisema "Ninaamini kwa dhati kwamba ubunifu na ustadi wa viongozi vijana wa Afrika utatusaidia kuunda mustakabali wa dunia. Na kwamba mawazo yao, mawazo yako, ubunifu na mipango yako itanufaisha dunia nzima".

XS
SM
MD
LG