Makamu Rais wa Marekani Kamala Harris alisema "Ninaamini kwa dhati kwamba ubunifu na ustadi wa viongozi vijana wa Afrika utatusaidia kuunda mustakabali wa dunia. Na kwamba mawazo yao, mawazo yako, ubunifu na mipango yako itanufaisha dunia nzima".
Makamu Rais wa Marekani Kamala Harris alisema "Ninaamini kwa dhati kwamba ubunifu na ustadi wa viongozi vijana wa Afrika utatusaidia kuunda mustakabali wa dunia. Na kwamba mawazo yao, mawazo yako, ubunifu na mipango yako itanufaisha dunia nzima".