Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 21:36

Guterres aeleza matumaini kwamba hali itaimarika Tigray baada ya kusitishwa kwa vita


Guterres aeleza matumaini kwamba hali itaimarika Tigray baada ya kusitishwa kwa vita
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres amesifu hatua ya kusitisha vita katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, wakati wa ziara yake ya kwanza tangu vita kati ya wanajeshi na wapiganaji wa Tigray vilipoanza miaka miwili iliyopita.

XS
SM
MD
LG