Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 17:57

Mpango wa ICC kumfungulia Joseph Kony mashtaka kabla hajakamatwa waibua hisia mseto


Mpango wa ICC kumfungulia Joseph Kony mashtaka kabla hajakamatwa waibua hisia mseto
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Waathiriwa wa ukatili wa kundi la waasi la Lord's Resistance Army, LRA, nchini Uganda, wamekuwa na maoni mseto, kuhusu mipango ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuanzisha kesi dhidi ya kiongozi mtoro wa kundi hilo, Joseph Kony, bila kuwepo mahakamani.

XS
SM
MD
LG