Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 15, 2025 Local time: 16:33

DRC inasema haiwezi kufanya mazungumzo ya amani na M23 ikiwaita ni "magaidi"


DRC inasema haiwezi kufanya mazungumzo ya amani na M23 ikiwaita ni "magaidi"
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imesema haitafanya mazungumzo na kundi la waasi la M23 ikilitaja kundi hilo ni la kigaidi. Msimamo wa serikali unatofautiana na msimamo wa Umoja wa Afrika unaotaka serikali ya DRC kuzungumza na makundi yanayopigana mashariki mwa Congo.

XS
SM
MD
LG