Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, Raila Odinga amepinga hatua ya serekali ya rais Dr William Rutto ya kufuta baadhi ya kesi zilizowakabili wanasiasa wa mrengo wa rais.
Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, Raila Odinga amepinga hatua ya serekali ya rais Dr William Rutto ya kufuta baadhi ya kesi zilizowakabili wanasiasa wa mrengo wa rais.