Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 18, 2024 Local time: 07:07

Wanawake washiriki katika miradi ya Sayansi, Teknolojia


Wanawake washiriki katika miradi ya Sayansi, Teknolojia
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:47 0:00

Wasichana mbali mbali hivi sasa nchini Kenya, wanajishughulisha na miradi ya sayansi na teknolojia kama njia ya kutatua changamoto mbali mbali katika jamii. Mradi maarufu wa Tech Women ambao ulianzishwa na serikali ya Marekani kusaidia wanawake barani Afrika, Asia na Mashariki ya kati umepokelewa vyema nchini Kenya na hivi sasa unaonekana kuwa unazaa matunda. Wasichana mbali mbali waliojiunga na mradi huo tayari wameanza kushirikiana katika kubaini na kutatua matatizo yanayokumba maeneo yao na kuanza kuyatatua kwa kutumia elimu ya sayansi. Mwandishi Salma Mohammed anaripoti zaidi kutoka Mombasa

XS
SM
MD
LG