Jimbo la Florida, Marekani, limepitisha sheria mpya inayopiga marufuku utoaji mimba baada ya wiki sita za ujauzito.
Mgombea anayaetarajiwa kuwa mteule wa urais wa kupitia chama cha Republican Donald Trump anasema akichaguliwa atarejesha tena marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi katika siku ya kwanza ya utawala wake mpya.
Jeshi la Marekani linapanga kurejea Chad ndani ya mwezi mmoja kwa ajili ya mazungumzo kuhusu kurekebisha makubaliano ambayo yanairuhusu kubakisha wanajeshi huko, jenerali mmoja wa Marekani alisema Jumatano.
Wamarekani wenye asili ya Asia ni kundi ambalo linakua kwa haraka sana lenye wapiga kura wanaostahiki nchini Marekani, kwa mujibu wa kituo cha utafiti cha Pew.
Betri zimekuwa muhimu katika ongezeko la magari ya umeme lakini pia ni muhimu kwa nishati ya upepo na jua.
Waziri Blinken pia alijadili juhudi za kidiplomasia zinazoendelea ili kufikia amani ya kudumu katika eneo la Gaza
Gavana Oleh Kiper alisema shambulio hilo la Russia lilipiga moja ya maeneo maarufu mjini Odesa ambapo watalii huenda kutembea
Mvua zimesababisha vifo vya watu takriban 170 na wengine 185,000 kukoseshwa makazi tangu mwezi Machi, ofisi ya rais imesema.
Picha za video ziliwaonyesha waandamanaji katika chuo cha Manhattan cha Columbia walifunga mikono mbele ya ukumbi wa Hamilton.
Utani wa Rais wa Marekani Joe Biden ulipokelewa vyema na wale waliohudhuria chakula cha jioni cha waandishi huko White House Jumamosi usiku hapa Washington DC.
Waziri wa Mambo ya Nje Antony Blinken amewasili Riyadh kwa ajili ya mazungumzo ya kikanda Jumatatu na Jumanne kuhusu msaada wa kibinadamu huko Gaza, mpango baada ya vita kwa maeneo ya Palestina, na utulivu na usalama katika Mashariki ya Kati.
Wapiganaji wanaoshukiwa wa ISWAP walitumia kifaa cha milipuko kulipua gari lililowabeba Civilian Joint Task Force
Pandisha zaidi