Rubio afanya mazungumzo na mwenzake wa Angola Tete

Your browser doesn’t support HTML5

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amefanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete antoniuo kumaliza mzozo wa DRC.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari