Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari
Harris kukubali rasmi uteuzi wa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Demokratik
Your browser doesn’t support HTML5
Kamala Harris kukubali rasmi uteuzi wa kuwa mgombea urais wakati akihutubia mkutano mkuu wa chama cha Demokratik Alhamisi.