Mkutano wa Baraza Kuu la UN unaendelea New York, Marekani

Your browser doesn’t support HTML5

Mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaendelea mjini New York, Marekani.

Shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International yatoa ripoti juu ya polisi wa Kenya kuwafyatulia risasi waandamanaji katika uwanja wa Bunge.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari