Raia wa Msumbiji milioni 17 wamejiandikisha kupiga kura Jumatano huku nchi ikiwa na changamoto za ukosefu wa usalama na chakula.

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.