Uganda inashuhudia ongezeko la visa vya unyanyasaji kwa wasichana na wanawake, mkaazi wa Kampala anatoa maoni yake kuhusu hali hii.

Your browser doesn’t support HTML5

VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.