Viongozi wa nchi za Afrika na Korea Kusini kuimarisha ushirikiano kati yao

  • Abdushakur Aboud

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa korea kusini Yoon Suk Yeol amesisitiza umuhimu wa jukumu la Afrika katika uzalishaji wa madini na kueleza matumaini ya kuimarisha ushirikiano wa uchimbaji madini na biashara kati yao.