Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano

  • Abdushakur Aboud

Your browser doesn’t support HTML5

Mchambuzi wa masuala ya kiuchumi, Charles Karisa anasema kwamba ziara ya rais Andrzej Duda wa Poland nchini Kenya ni muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na biashara kati ya nchi hizo mbili.