Polisi nchini Kenya wameimarisha uchunguzi kuhusu wahubiri wanaoeneza mafunzo ya dini yenye utata na yanayopelelea waumini kufariki
Your browser doesn’t support HTML5
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.