Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergei Lavrov yupo Afrika kusini wakati wanajeshi wa Russia Afrika kusini na China wanafanya mazoezi pamoja
Your browser doesn’t support HTML5
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.