UN inasema walinda amani waligundua makaburi ya halaiki mashariki mwa DRC
Your browser doesn’t support HTML5
Naibu msemaji wa Umoja wa Mataifa, Farhan Haq amewaambia waandishi wa habari kwamba kaburi moja katika kijiji cha Nyamamba lilikuwa na miili 42 wakiwemo watoto sita. Miili saba iligunduliwa katika kaburi moja kwenye kijiji cha Mbogi