Elon Musk anasema atajiuzulu kama mkurugenzi mtendaji wa Twitter mara atakapopata mtu mwenye sifa za kurithi nafasi hiyo

Your browser doesn’t support HTML5

Elon Musk amesema Twitter itaruhusu tu akaunti zilizo na tiki ya bluu kupiga kura kuhusu mabadiliko ya sera baada ya asilimia 57.5 ya watumiaji kumpigia kura ya kuachia ngazi kama Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Twitter